Nimempata binti mrembo na shupavu chumbani shida yake ni ulevi – Taifa Leo


Hujambo Shangazi?

KUNA huyu binti ambaye nilikutana naye wiki mbili zilizopita. Nampenda sana hasa ikizingatiwa kwamba yeye ni shujaa sana chumbani. Lakini tatizo ni kwamba

analewa sana. Nifanyeje?

Sijambo!

Kwanza kabisa, wiki mbili ni muda mfupi sana kumfahamu mtu. Kisha, unapaswa kujua kwamba kuna mambo mengi muhimu maishani kando na ustadi wa chumbani. Sawazisha mambo haya

kisha ufanye uamuzi wake.



Source link

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*