Former Deputy President Rigathi Gachagua has, for the first time, talked about his political ambitions after his impeachment.
Speaking during a live interview on Tuesday, February 4, 2025, Gachagua said that he is not interested in vying for any political seat, adding that it is not a must for him to hold any powerful seat in the country since it has no importance to him.
The second deputy president further disclosed that during the impeachment process, President William Ruto and Members of Parliament who are allied with him tried to persuade him to resign so that he could have the opportunity to contest for a political seat, but he rejected their plea.
“Mambo ya kwamba ati nikifukuzwa sitasimama kiti hiyo haina maana kwangu unajua watu wanafikiria mimi ni mtu wakujipenda sana. Sio lazima nikuwe chochote kati hii Jamuhuri ya Kenya. Na mimi kama ningesikiliza vile rais alikuwa ameniambia nijiuzulu kwa vile alikuwa ameniambia nikupatie billioni mbili, uende nyumbani, uende upumzike ufanye mambo yako ukuwe na security, ukuwe na mshahara na unaweza simama siku yengine.
“Sasa nikajiuliza yule anakupangia mabaya anawez kukupangia vile utaishi hata wabunge wanao niunga mkono walikuja kuniambia wewe jiuzulu ndio upate nafasi ya kusimama nikasema hiyo ni kujipenda sio lazima mimi nisimame ama lazima mimi niongoze mimi lazima nijitole nitete wakenya na ukweli ijulikane,” Gachagua said.
In addition, Gachagua stated that if he wanted to contest for any political position, he could still do so because he still has an ongoing case in court, and the Kenyan law is clear, adding that even former President Uhuru Kenyatta and Ruto vied with an ongoing court case.
He, however, insisted that vying is of no use to him, adding that currently, he is focusing on how Kenya can have good leadership.
“Sio lazima ati mimi ndio nikuwe kiongozi wa Kenya iko watu wengi wakuongoza. Mimi nitakuwa kwa ile team itafanya lakini hakuna mtu amenikataza kusimama mimi niko na kesi kortini inaendelea.
“Uhuru na Ruto walisimama wakiwa na kesi kwa Hague, katiba ya Kenya iko wazi ya kwamba kama ungali na kesi kortini right yako ya kupigania kiti hauwezi ondolewa. Kwa hivyo mimi nikitaka kiti ama kusimama nitasimama lakini hiyo haina haja, saa hii ile kitu ya maana ni vile tutapanga hii Kenya na wengine ndio tuweze tukapata uwongozi bora,” he added.
Political stand
Gachagua further said that he is not the leader of the opposition nor the Mount Kenya region’s kingpin, adding that he is only collaborating with the politicians from the opposition for the betterment of the nation.
“Mimi ni mwananchi wa kawaida na niko na wafuwasi wengi sana ambao wananiamini, wananitegemea, na ninaendelea kutafuta mbinu na njia vile hii Kenya itaendelea vizuri na nitachangia kiasi fulani kupanga hii Kenya na kutafuta uwongozi bora. Na ndio maana nimeanza kushikana na viongozi wengine katika Jamhuri ya Kenya tukiwa na mikakati ya kukubaliana vile hii Kenya itakaa na sio ati mimi ni kiongozi wa upinzani mimi ni kiongozi wa kusema ukweli,” he stated.
Leave a Reply