![](https://informationcentre.co.ke/wp-content/uploads/2025/02/seneti-326x245.jpg)
Kaunti hatari kwa ufujaji wa pesa kuanikwa Seneti ikitimiza tishio – Taifa Leo
Maseneta wakiwa kikaoni. Picha|Hisani KAUNTI hatari kwa ufujaji wa pesa za umma huenda zikaorodheshwa na kuanikwa ikiwa Seneti itatekeleza tishio lake la kuhakikisha matumizi bora […]