
Hatutamruka Ruto na haturejei kwa maandamano, washirika wa Raila wasema – Taifa Leo
Kinara wa Wachache Bungeni Junet Mohamed. Picha|Hisani KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewaongoza wanasiasa wa chama hicho kushikilia kuwa ataendelea kuunga mkono Rais William Ruto […]