![](https://informationcentre.co.ke/wp-content/uploads/2024/12/ajira-1320x792-326x245.jpg)
Watumishi wa umma kukingwa wasipoteze ajira hata mashirika yakivunjwa – Taifa Leo
Mfanyakazi akizongwa na shinikizo za mawazo. Picha|Maktaba WATUMISHI wa umma katika kiwango cha kitaifa na kaunti ambao nyadhifa au mashirika wanamofanyia kazi, yatafutiliwa mbali, watakingwa […]