![](https://informationcentre.co.ke/wp-content/uploads/2025/02/LS170722Alcoholism-2-326x245.jpg)
Mwanadada weita aliyetilia wateja ‘mchele’ kwa vinywaji atimuliwa kazini – Taifa Leo
Chupa na glasi ya pombe. Picha| Maktaba MWANADADA aliyekuwa akihudumu katika baa ya hapa alipigwa kalamu teketeke kufuatia madai kwamba amekuwa akiwatilia wanaume ‘mchele’ katika […]