
Hivi yani viti ni silaha mazishini na wakodishaji wanahitaji kuviwekea bima! – Taifa Leo
Jinsi mazishi yalivyovurugika Matungu. Picha|Maktaba VITI, viwe vya plastiki au mbao, vinapaswa kutambuliwa kisheria kama silaha hatari wakati wa msiba. Nazo kampuni za kukodisha viti […]