![No Image](https://informationcentre.co.ke/wp-content/themes/mh-magazine-lite/images/placeholder-medium.png)
Usafiri kutatizika msimu wa sikukuu barabara 2 kuu zikifungwa Nairobi – Taifa Leo
MAMLAKA ya Kitaifa ya Barabara Kuu (KeNHA), imetangaza kuwa madereva wanaotumia barabara kuu ya Nairobi-Nakuru wanapaswa kutarajia kutatizika kuanzia katikati ya Desemba hadi Januari 2025. […]