![No Image](https://informationcentre.co.ke/wp-content/themes/mh-magazine-lite/images/placeholder-medium.png)
Aliyeendesha gari kwenye umati sokoni na kuua watano kushtakiwa kwa mauaji – Taifa Leo
MWANAMUME anayeshukiwa kuendesha gari katikati ya umati katika soko la Krismasi nchini Ujerumani, shambulio lililoua watu watano na kujeruhi wengine wengi anakabiliwa na mashtaka mengi […]