![No Image](https://informationcentre.co.ke/wp-content/themes/mh-magazine-lite/images/placeholder-medium.png)
Kuondoa masharti ya vitambulisho mpakani hatari kwa usalama wa taifa – Taifa Leo
TANGAZO la Rais William Ruto kwamba watu kutoka jamii zinazoishi katika kaunti za mipakani hawatawekewa masharti makali wakiomba vitambulisho vya kitaifa linaweza kuathiri pakubwa usalama […]